MUHAMMUD ALLI AAGA DUNIA

Aliyeluwa bondia wa kwanza maarufu mweney asili ya Kiafrika, Muhammud Ali, wa Marekani amefariki leo asubuhi akiwa na umri wa miaka 74.Kul...

Tokeo la picha la Muhammud Ali

Aliyeluwa bondia wa kwanza maarufu mweney asili ya Kiafrika, Muhammud Ali, wa Marekani amefariki leo asubuhi akiwa na umri wa miaka 74.Kulingana na msemaji wa familia yake, bingwa huyo wa zamani wa uzani wa juu, anayejulikana sana kote duniani kwa sababu ya machachari yake katika ngumi, alifariki katika jiji la Phoenix Arizona, baada ya kulazwa hospitalini Alhamisi.

Tokeo la picha la Muhammud Ali

source bbc

Related

Sport 6736821347596936864

Post a Comment

Follow Us

Hot in week

Recent

Comments

RECENT POSTS

item